MTWARA, LINDI ZAINGIZWA KWENYE GRIDI YA TAIFA
MTWARA, LINDI ZAINGIZWA KWENYE GRIDI YA TAIFA
#KAZIINAONGEA
Serikali inatekeleza mradi wa umeme Gridi ya Taifa kwa kuiunganisha mikoa ya Mtwara na Lindi kutokea Songea kwa kupitia njia ya Tunduru, Masasi -Mahumbika.
Hii ni kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Wizara ya Nishati Bungeni Jijini Dodoma Novemba 4, 2024.
Aidha Wizara ya Nishati inatekeleza agizo la Rais Dkt Samia Suluhu Hassan la kutaka kuwalipa fidia wananchi wote waliopisha mradi wa kuunganisha umeme kwenye Gridi ya Taifa kwenda mikoa ya Mtwara na Lindi.
#KAZIINAONGEA

Comments
Post a Comment