RAIS SAMIA AWAONGOZA WATANZANIA KUMUAGA DKT. NDUGULILE


 RAIS SAMIA AWAONGOZA WATANZANIA KUMUAGA DKT. NDUGULILE


#KAZIINAONGEA


Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan Desemba 2, 2024 ameshiriki Ibada ya kuuaga mwili wa Mbunge wa Kigamboni na Mkurugenzi mteule wa Shirika la Afya duniani (WHO) kanda ya Afrika, Dkt. Faustine Ndugulile.


Shughuli ya kumuaga mwanasiasa huyo imefanyika kwenye viwanja vya Karimjee, jijini Dar es Salaam na Rais Dkt. Samia pia amesaini kitabu cha Maombolezo.

Comments

Popular posts from this blog

ELIMU BILA MALIPO MSAADA KWA WATANZANIA WENGI